Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti
wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akimkabidhi fedha tasilim
Shilingi za Kitanzania Millioni mbili Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi
Zanzibar (ZEC) Mhe,Jecha Salim Jecha wakati aliporejesha fomu za
kugombea Urais wa Zanzibar katika Ofisi ya Tume ya Uchaguzi iliyopo
Hoteli ya Bwawani Mjini Unguja leo,
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti
wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akimkabidhi fedha tasilim
Shilingi za Kitanzania Millioni mbili Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi
Zanzibar (ZEC) Mhe,Jecha Salim Jecha wakati aliporejesha fomu za
kugombea Urais wa Zanzibar katika Ofisi ya Tume ya Uchaguzi iliyopo
Hoteli ya Bwawani Mjini Unguja
Baadhi ya Viongozi wa Chama cha Mapinduzi walioshuhudia Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa
CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein ,akirejesha fomu za kugombea Urais
wa Zanzibar kwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Mhe,Jecha
Salim Jecha katika Ofisi ya Tume ya Uchaguzi iliyopo Hoteli ya Bwawani
Mjini Unguja.
Post a Comment