Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

LOWASSA AIBUKIA HOSPITALINI








Waziri mkuu mstaafu Mh.Edward Lowassa amewatembelea na kuwapa pole wahanga wanne waliolazwa katika hospitali ya wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga baada ya kunusurika kufa katika machimbo ya Nyangalata wilayani humo.


Mh. Lowassa amefika hospitalini hapo akitokea jijini Mwanza na kupokelewa na uongozi wa hospitali hiyo ambao walimuongoza hadi kwenye vitanda walipokuwa wamelazwa wahanga hao wa machimbo ya Nyangalata.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top