Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

JACK CLIFF AANDIKA UJUMBE MZITO KWA WATANZANIA AKIWA GEREZANI


Ikiwa ni miaka miwili toka video vixen Jackie Cliff akamatwe kwenye uwanja wa ndege na kufungwa gerezani huko Macao China kwa kosa la kujaribu kuingiza dawa za kulevya, ameandika barua ya wazi kwa watanzania ambapo amezungumzia mambo mbalimbali kuhusu maisha yake.


Barua hiyo imesomwa kwa mara ya kwanza na kipindi cha Amplifaya cha Clouds FM Jumanne hii na mtangazaji wa kipindi hicho Millard Ayo.
 

Sikiiza hapa.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top