Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MTANZANIA ANG'ARA TUZO ZA GRAMMY

Kulia ni Mtanzania Allan Kyariga jina la kisanii Allan Kingdom siku ya Jumatatu Feb 15, 2016 alikua nominated kwenye Grammys Awards zilizofanyika Los Angeles, California katika wimbo wa All Day aliyeimba akishirikiana na Kanye West. Allan Kingdom alikua nominated kwenye Best Rap Song na Best Rap Performance kushoto kwenye picha ni mama yake mzazi Lau Kyariga akiwa amemsindikiza mwanae wote wanaishi Minnesota.

Allan Kingdom akifanyiwa mahaojiano kwenye zulia jekund siku ya Grammys Awards.
Wimbo wa All Day Allan Kingdom na Kanye West alipofanya show Live jijini London mwaka jana
Lau Kyariga akiwa kwenye zuria jekundu kwenye Gammys  Awards Los Angeles, California
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top