Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

AJALI ... Wachimbaji madini wafunikwa na kifusi ... Watu 5 wafariki Dunia

WACHIMBAJI wadogo watano wamefariki dunia jana huku wengine wanne wakijeruhiwa baada ya kuangukiwa na kifusi cha mchanga wakati wakiwa katika harakati za kutafuta dhahabu kwenye kijiji cha Mgusu mjini Geita.
Kamishna Msaidizi wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita, Mponjoli Mwabulambo amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.
Zifuatazo ni picha kutoka eneo la machimbo:
IMG-20160309-WA0082
IMG-20160309-WA0084IMG-20160309-WA0085IMG-20160309-WA0086
IMG-20160309-WA0087
Baadhi ya maiti zilizotolewa katika kifusi kilichodondoka.
IMG-20160309-WA0088IMG-20160309-WA0089
Zoezi la uokoaji likiendelea.
IMG-20160309-WA0090
Picha kwa hisani: www.geita.info
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top