Wananchi wameshindwa kuuzima hoto huo kwa sababu ya kutumia vifaa duni
Taarifa zinasema baada ya muda Moto umedhibitiwa ulipoanza kusambaa kwenye maduka jirani na soko hilokwaushirikiano wa zima moto kutoka Bukoba Mjini na Kiwanda cha Sukari Kagera.

Haya ni masikitiko makubwa kwa viongozi wa wilaya kubwa kama hii kukosa gari la zima moto na vifaa vingine vya uokozi.Inabidi tufike sehemu serikali nayo iache kupendelea baadhi ya mikoa.Mikoa na wilaya zote zina wananchi wanaohitaji huduma sawa.
BUKOBAWADAU
Post a Comment