Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MSANII WA BONGO FLEVA SHILOLE AZIDIWA GHAFLA, ALAZWA

Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva,  Shilole amelazwa hospitali baada ya kuzidiwa usiku wa jana.

Akiongea na Bongo5, Babalevo ambaye yupo katika hospitali aliyolazwa muimbaji huyo iliyopo Kinondoni, amedai kuwa usiku wa jana alichemka kiasi cha kukosa nguvu na kulazimika kupelekwa hospitali.

Aliwekewa drip kushusha homa hiyo na madaktari wamemshauri apate muda wa kupumzika zaidi. Babalevo amesema Shilole ambaye siku za hivi karibuni amekuwa akifanya mazoezi makali ya mwili anaendelea vizuri.

Tunakuombea upone haraka Shishi.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top