Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

LIVE: Mkutano wa RC Makonda awamu ya tatu vita dawa za kulevya

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda muda huu yupo katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere ambapo atatangaza list mpya ya majina ya watu wanaotuhumiwa kujihusisha na biashara ya Madawa ya kulevya.

Hii itakuwa list ya tatu ya mkuu huyo baada ya mbili kupita.

Katika list zilizopita vigogo mbalimbali walitajwa kama Yusuph Manji, Iddi Azzan, askofu Gwajina na wengine.

Pia mkutano wa leo umehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali pamoja viongozi wa usalama. 

==>Angalia tukio zima hapo chini
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top