"Hadi tarehe 12 February jumla ya watu 311 wamekamatwa na vielelezo mbalimbali vya dawa za kulevya. Kuna wakubwa ambao sidhani kama walitegemea wangelala mahabusu, tumefanya hivyo kwa mujibu wa sheria, hakuna aliyeonewa" - Kamanda Sirro
on Monday, February 13, 2017
Post a Comment