Loading...
DK. MAGUFULI AFUNGUA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CHAMA CHA MAPINDUZI
Mwenyekiti wa CCM, Rais John Magufuli asubuhi hii ameanza kuongoza kikao cha Kamati Kuu ya chama hicho kinachofanyika White House, Makao Makuu ya chama mjini Dodoma.
Kikao hicho kitafuatiwa na kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM na kisha Mkutano Mkuu maalum utakaofanyika kesho. Mkutano huo maalum umeitishwa ili kujadili na kupitisha mabadiliko ya katiba ya CCM na baadhi ya kanuni za uendeshaji wa chama hicho.
Na Edwin Mjwahuzi MCL
BLOG RAFIKI
-
-
-
-
-
-
Alfajiri10 hours ago
-
-
-
-
-
Serikali yatoa kauli kuhusu Dbi ya Kariakoo9 months ago
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-



Post a Comment