Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Bajeti ya Bunge kuongezwa

Waziri wa  Fedha na Mipango Mh.Philip Mipango amesema  Bungeni kuwa kwa mwaka ujao wa fedha serikali itaongeza  bajeti ya mfuko wa Bunge kutoka shilingi bilioni 99 mpaka   shilingi bilioni 121.

Mh. Mipango ameyasema hayo alipokuwa akijibu swali la Mh. Lucy Magereli mbunge wa viti maalum aliyetaka kujua  serikali ina mpango gani wa kuliwezesha bunge ili liweze   kufanya kazi zake kwa ufanisi.

Akaongeza kuwa mpango wa serikali kuliwezesha bunge kufanya shughuli zake kwa ufanisi ni kutoa mfuko mkuu wa serikali  kwenda kwenye mfuko wa bunge kwa kuzingatia bajeti  iliyoidhinishwa na bunge .
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top