Mbunge wa Nzega Mjini(CCM) Hussein Bashe
*****
Hussein Bashe ni Kijana mtiifu wa yule Laigwani wa Monduli
Bashe ndiye aliyekuwa msemaji mkuu wa kambi ya Lowasa na msemaji mkuu binafsi wa Edward lowasa
Bashe ndiye aliyekuwa anaongoza mikakati yote ya Eddo ndani ya ccm na nje ya ccm
Bashe alikuwa anafanya kazi katika kampuni ya magazeti ya Rostam Aziz yule fisadi aliyekimbilia nje ya nchi na aliyekuwa mfadhili mkuu wa kampeni za lowasa
Bashe kama anauchungu na hii nchi awaeleze watanzania kwanini boss wake ROSTAM AZIZI amekimbia nje ya nchi.?
Bashe awaeleze watanzania sasa kuhusu ile migodi ya kule nzega inamilikiwa na kina nani.?
Bashe awaeleze watanzania sasa kuhusu ufisadi wote wa Rostam Azizi kama kweli anaipenda hii nchi
Huyu huyu bashe sasa awaeleze watanzania wakina nani walikuwa wanamchangia lowasa zile fedha alizokuwa anamwaga makanisani pamoja na misikitini zikiwemo zile fedha alizowanunulia wenyeviti wa ccm magari aina ya NIVARA.? Na awaeleze alikuwa anawapa magari kwa ahadi zipi?
Bashe kama ana uchungu na watanzania awaeleze sasa wale watu waliokuwa wanampa mabilioni lowasa walimpa kwa makubaliano yapi.?
Bashe awaeleze watanzania sasa zile fedha zaidi ya bilioni 50 lowasa alizotumia kwenye safari yake ya matumaini nje na ndani ya ccm pamoja na kuinunua chadema alizitoa wapi na kwanini alitaka kununua Uraisi.?
Bashe ni kada mtiifu wa lowasa aliyebaki ccm kwa kazi maalumu
Hakuna adui mbaya kama adui yako wa ndani
Bashe daima hawezi kumpenda Magufuli hata aibadilishe Tanzania iwe kama Marekani bashe atakuwa mpinzani wake tu.Bashe yupo kimkakati ndani ya ccm kwa kazi maalumu za chadema na lowasa
Rafa lukindo
Loading...
Post a Comment