Jumla ya wanafunzi 93,019 wamechaguliwa kujiunga kidato cha 5 na vyuo vya ufundi, kuripoti shuleni Julai 17, Waziri Simbachawene atangaza.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), George Simbachawene
Tafadhali bofya chini Kujua Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha 5 na Vyuo vya Ufundi Mwaka 2017.
Watakaochaguliwa Kujiunga Kidato cha 5 na Vyuo vya Ufundi awamu ya Pili 2017
Post a Comment