Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Arusha: Watoto walioopolewa wamezikwa

Arusha. Mtoto Ikram Salim (3) aliyetekwa na kukutwa ametupwa kwenye shimo la maji taka eneo la Mji Mpya mtaa wa Olkrian Kata ya Olasiti amezikwa  katika makaburi ya msikiti wa Olasiti.

Mtoto mwingine aliyekutwa na umauti akiwa mikononi mwa watekaji ni Moureen Daudi amezikwa leo katika makaburi ya kanisa la Kiinjili la Kirutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Olasiti

Wananchi wameomba mtandao huo uvunjwe haraka ili watoto waishi kwa amani kama ilivyokuwa awali

"Tuna hofu hatuwezi kwenda na watoto kila tunapoenda, tumechanganyikiwa hatujui la kufanya tunamwomba Mungu atusaidie na serikali yetu ihakikishe hakuna matukio ya aina hii tena,"amesema mmoja wa wananchi hao
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top