Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Spika Ndugai aeleze risasi alizopigwa Tundu Lissu



Akiongea wakati akifungua Bunge asubuhi hii, Spika wa Bunge Job Ndugai amesema haya; Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Tundu Lissu alifyatuliwa risasi kati ya 28-32. Risasi 1 ilimpata mkononi, 2 tumboni na 2 mguuni. Spika amesema familia ya Lissu ndiyo iliyochagua ndugu yao kwenda kutibiwa Nairobi nchini Kenya lakini Bunge lilikuwa limejiandaa kumpeleka Muhimbili.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top