Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Rais Magufuli afumua Baraza la Mawaziri ..... Ateua jipya .... Hili hapa ....

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli, leo October 7 amefanya mabadiliko ya baraza la Mawaziri na kuongeza wizara mbili, hivyo kufikia wizara 21 kutoka 19 ambazo zilikuwepo.

Tukio hilo limetokea leo ambapo Rais Magufuli pia amezigawa Wizara ya Kilimo, Mifugo, Uvuvi na kuwa wizara ya Kilimo pekee na Wizara ya Mifugo na Uvuvi peke yake, pamoja na Wizara ya Nishati na Madini kuwa wizara mbili tofauti.

Sambaba na hilo pia Rais Magufuli amemteua Mh. George Haruna Mkuchika kuwa Waziri Ofisi ya Rais Utawala Bora, ambaye kabla alikuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge.

Mawaziri hao wanatarajiwa kuapishwa siku ya jumatatu Oktoba 9, 2017, Ikulu jijini Dar es salaam.

Kwa ufupi.

Mahiga, Mwakyembe, Kabudi, wamendelea na wizara zao.

Hussein Bashe: TAMISEMI

Katibu wa Bunge: Aondolewa na kuwekwa mpya

Medadi Kalemani: Wizara ya Madini (imegawanywa kwa sasa)

Angela Kairuki: Waziri wa Nishati na Madini.

Taarifa; Rais Magufuli amefanya mabadiliko madogo ya Baraza Mawaziri, ambapo ameongeza wizara mpya mbili na kufikisha jumla ya wizara 21. Mawaziri 2 na manaibu 5 pia wameongezwa, wapya wakiwa ni pamoja na Mhe Mohamed Ulega, Mhe Kangi Lugola, Mhe Faustine Ndugulile, Mhe Mary Mwanjelwa Juliana Shonza nk.

Rais Magufuli amemteua Steven Kagaigai kuwa Katibu wa Bunge na Thomas Kashililah atapangiwa kazi nyingine

"Wizara ya Kilimo, Mifugo, Uvuvi tumeigawa na kuwa Wizara 2 za Wizara ya Kilimo na Wizara ya Mifugo na Uvuvi"-Rais @MagufuliJP

MABADILIKO YA BARAZA LA MAWAZIRI

Mawaziri 21zimeongezeka 2

Manaibu 21 zimeongezeka 5

Utumishi - mkuchika 

Nishati - kalemani - mgalo 

Madini - mfuruki - nyongo

Ujenzi - mbarawa - nditie na kwandikwa

Fedha - mpango - kijaji

Katiba - kabudi

Habari - mwakyembe - shonza

Ndani - nchemba - masauni

Maliasili - kigwangala - kasunda

Ardhi - lukuvi - mabula

Kilimo - tizeba - mwanjelwa

Mifugo/uvuvi - mpina - urega

Nje - mahiga - kolimba

Ulinzi - mwinyi

Maji - kamwele - awoshio 

Viwanda/biashara - mwijage - manyanya

Elimu - ndalichako - olenasha

Afya - mwalimu - faustine

Tamisemi - jafo - sekamba na kakunda

MaZingira - makamba - lugola

Vijana - mwamgama - mavunde na kipupa


Katibu bunge - kagaigai
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top