Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Mugabe Akubali Yaishe.....Ang'oka Rasmi

Shangwe zimelipuka jijini Harare nchini Zimbabwe baada ya Rais wa nchi hiyo, Robert Mugabe kuakubali kujiuzulu jana Jumanne jioni.

Shangwe hizo zililipuka baada ya nchi hiyo kuwa katika presha kwa siku kadhaa baada ya wanajeshi kumweka kizuizini Rais Mugabe huku wakifanya utaratibu wa kumtaka aondoke madarakani.

Mugabe (93) amekuwa kiongozi wa nchi hiyo kwa miaka 37 na kuanzia wiki iliyopita kumekuwa na mchakato wa kutaka kumwondoa hadi leo alipoamua kuliandikia Bunge barua ya kujiuzulu.

==>Hii ni barua ya Mugabe Kujiuzulu

Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top