Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imekusanya kiasi cha shilingi trilion 7.87 katika kipindi cha miezi sita ya mwaka wa fedha 2017/18 kuanzia mwezi Julai 2017 hadi Desemba 2017.
Ni sawa na ongezeko la 8.45% ikilinganishwa na kipindi kama hicho katika mwaka wa fedha 2016/17




Post a Comment