Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

YALIYOJIRI BUNGENI JIJINI DODOMA

Pix%2B1%2BMhe%2BTulia%2BAckson
Naibu Spika wa Bunge la  Jamhuri ya Muungano Mhe.Dkt.Tulia Ackson akitambulisha wageni wa jukwaa la Spika wakati wa kikao cha thelathini na tano cha Mkutano wa kumi na moja leo Jijini Dodoma.
Pix%2B2%2BMboni%2Bmhita
Rais wa Umoja wa Vijana wa Bunge la Afrika na Mbunge wa Handeni Vijijini Mhe.Mboni Mhita akitoa shukurani mbele ya Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania toka achaguliwe kuongoza umoja huo ivi karibuni nchini Afrika ya kusini ambapo atatumikia kwa muda wa miaka mitatu.
Pix%2B3%2BMhe.Masele
Makamu wa Rais wa Bunge la Afrika na Mbunge na Mbunge wa Shinyanga Mjini Mhe.Stephen Maselle akitoa shukurani mbele ya Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania toka achaguliwe kuongoza Bunge hilo  ivi karibuni nchini Afrika ya kusini. 
Pix%2B4%2BWanafunzi%2Bwa%2BHuruma%2Bsekondary%2Bna%2Bwanachuo%2Bwa%2Bchuo%2Bcha%2Bdiplomasia
Wanafunzi wa Sekondari ya Huruma ya Jijini Dodoma(kushoto) na Wanachuo wa Chuo cha Diplomasia(kulia) wakifuatilia kipindi cha maswali na majibu leo Bungeni Jijini Dodoma.
Pix%2B5%2BWaziri%2BMahiga
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe.Dkt.Augustine Mahiga akiwasilisha hotuba ya Makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 leo Jijini Dodoma.
Pix%2B6%2BWaziri%2BMahiga%2Bna%2BNaibu%2Bwake
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe.Dkt.Augustine Mahiga na Naibu wake Mhe.Dkt.Suzan Kolimba wakipitia hotuba ya Makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara hiyo kabla ya kuwasilisha leo Jijini Dodoma.
Pix%2B7%2BMhe.Fatma%2BTawfiq
Mbunge wa Viti Maalum Mhe.fatma Toufiq(CCM) akiuliza swali kutaka  kujua  mpango wa Serikali kudhibiti hali ya wanafunzi kupewa ujauzito na  waendesha bodaboda leo Jijini Dodoma.
Picha zote na Daudi Manongi,MAELEZO, DODOMA.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top