Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Kalanga, Waitara wapeta CCM

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kitafanya uteuzi wa wagombea ubunge katika majimbo ya Monduli, Korogwe na Ukonga Agosti 15 mwaka huu.

Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje, John Mrema amesema hayo leo Alhamisi Agosti 9.

“Wameanza kuchukua fomu za uteuzi ila sisi uteuzi ni Agosti 15, ndiyo vikao vitakaa na kuteua,” amesema Mrema.

Wakati chama hicho kikijipanga kufanya uteuzi huo, tayari Chama cha Mapinduzi (CCM), katika Jimbo la Monduli kimempitisha aliyekuwa Mbunge wa jimbo hilo aliyejiuzulu wiki iliyopita, Julius Kalanga kuwa mgombea pekee licha ya wanaCCM Kuandamana kumpinga.

Kadhalika hali ikiwa hivyo katika Jimbo la Monduli, tayari aliyekuwa Mbunge wa Ukonga aliyejiuzulu na kuhamia CCM, Mwita Waitara anadaiwa kuchukua fomu kupitia chama hicho akiomba kuteuliwa kugombea tena jimbo hilo huku katika Jimbo la Korogwe wakitarajia kufanya uchaguzi leo.

Wiki iliyopita, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), ilitangaza Uchaguzi Mdogo wa Ubunge katika majimbo matatu na wa udiwani katika kata mbili za Tanzania Bara utakaofanyika Septemba 16, mwaka huu ambapo fomu za uteuzi wa wagombea wa majimbo hayo zitatolewa kuanzia Agosti 13 hadi 20, mwaka huu.
Download Our App

3 comments

xem thêm tại công ty vệ sinh công nghiệp https://vesinhhc để biết thêm chi tiết!

Reply
This comment has been removed by the author.

Nilichanganyikiwa na kuhuzunika mume wangu alipoomba talaka. Kisha nikawasiliana na Dk DAWN, baada ya kuona ushuhuda mwingi wa jinsi Dk DAWN alivyosaidia watu wengi kurejesha amani katika ndoa na uhusiano wao,
Pia niliona jinsi alivyotibu magonjwa mbalimbali na kusaidia watu wachache kutibu ugumba, niliamua kuwasiliana naye kwa msaada,
Aliahidi kusaidia wakati baada ya kumueleza kila kitu, nilimpa kila alichouliza na akafanya kazi yake, sasa mume wangu ananipenda sana na ananitendea kwa Matunzo. Nyumba yangu ni ya amani na imejaa furaha, shukrani zote kwa Dk DAWN,

Wasiliana naye ikiwa una tatizo lolote kwa sasa. Yeye ni WhatsApp: +2349046229159
Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com

Reply

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top