Waziri wa Habari
Utamaduni Utalii na Michezo Said Ali Mbarouk (Kulia)akiwa pamoja na Balozi Mdogo
wa China aliepo Zanzibar Chen Qiman wakati balozi huyo alipofanya Ziara ya
kutembelea minara ya kurushia matangazo ya Shirika la Habari la Zanzibar
(ZBC)
Waziri wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo Said Ali Mbarouk (wamwanzo kushoto)akiwa katika Kikao cha Majumuisho na Balozi Mdogo wa China aliepo Zanzibar Chen Qiman baada ya Ziara ya Kutembelea Minara ya Kurushia Matangazo ya Shirika la Habari la Zanzibar (ZBC)huko Ofisni kwake Baraza la Wawakilishi la Zamani Kikwajuni Mjini Zanzibar
. PICHA ZOTE NA MAKAME MSHENGA MAKAME-HABARI MAELEZO ZANZIBAR.
Waziri wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo Said Ali Mbarouk (wamwanzo kushoto)akiwa katika Kikao cha Majumuisho na Balozi Mdogo wa China aliepo Zanzibar Chen Qiman baada ya Ziara ya Kutembelea Minara ya Kurushia Matangazo ya Shirika la Habari la Zanzibar (ZBC)huko Ofisni kwake Baraza la Wawakilishi la Zamani Kikwajuni Mjini Zanzibar
. PICHA ZOTE NA MAKAME MSHENGA MAKAME-HABARI MAELEZO ZANZIBAR.


Post a Comment