Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

JINSI BENITEZ ALIVYOPOKELEWA NA KUANZA MAZOEZI NA CHELSEA

Nimefurahi sana kuungana tena na Fernando Torres...! Rafael Benitez akionyesha jezi yake katika klabu ya Chelsea baada ya kutambulishwa mbele ya waandishi wa habari leo Novemba 22, 2012.
Benitez akipelekwa kwenye uwanja wa mazoezi wa klabu yake mpya ya Chelsea leo.
Benitez akitua Chelsea

Sijui nitafikisha mechi 10? Anyway... hapa nimefuata mkwanja tu ...! hapa tayari keshatupia nguo za kazi na kuanza kazi ya kuifundisha Chelsea kwa mara ya kwanza leo Novemba 22, 2012.
Nahodha John Terry wa Chelsea akielekea mazoezini na mkoko wake wa bei mbaya leo

Fernando Torres wa Chelsea akielekea mazoezini leo Novemba 22, 2012.
Hayaaa...! Anzeni kujifua sasa niwaone

Benitez akitoa maelekezo muhimu kwa straika Fernando Torres na mwenzake wakati wa mazoezi yao leo Nov. 22, 2012.

Sasa nitatisha tena kama nilivyokuwa Liverpool....! Torres akikokota mpira mbele ya kocha wake Rafael Benitez wakati wakiwa kwenye mazoezi yao leo Novemba 22, 2012.
Hatukutaki...! Baadhi ya mashabiki wa Chelsea wakiandamana kupinga ujio wa kocha Rafael Benitez katika klabu yao leo Nov.22, 2012.

Rafa nje...! Shabiki mmoja wa Chelsea akionyesha bango lake kupinga kuajriwa kwa Rafael Benitez
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top