Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

KINANA NI KIELELEZO CHA VIONGOZI WA CCM, ANAYEWAJALI HATA WALEMAVU.

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana jana alidhihirisha kuwa ni kipenzi mpenda watu wa aina zote, alipoamua kusimamisha msafara wake na kwenda kumsalimia Joseph Nampela mwenye ulemavu wa miguu, ambaye alikuwa pembeni mwa barabara, wakati msafara huo ukiingia mjini Sumbawanga, alipokuwa katika ziara ya kikazi ya siku moja mkoani Rukwa, jana. Pichani, Kinana akimsalimia mwananchi.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top