Justin Bieber akiwa anapiga show sikuya
tuzo.
Mama yake Bieber alishindwa kujizuia na kupanda jukwaani kukusanya tuzo za mwanae wakati Bieber akipewa tuzo, Bieber alisema maneno haya huku akimuangalia mama yake...
"I wanted to thank you for always believing in me," Bieber said, looking to his mom" tuzo mojawapo ikiwa ni ya "Msanii bora wa mwaka, Album bora yaa pop na tuzo ya mwisho kutunukiwa ni ya heshima ya mwaka 2010.
Mtangazaji wa tuzo hizo "Jenny McCarthy" akionekana kumbusu Justin Bieber baada ya kukubari tuzo ya Album bora ya pop/rock - ya "Believe". Na baada ya kumbusu alinong'ona ....najua nimekiuka sheria na kukubusu.
Bieber aliwaambia mashabiki wake kuwa "hard growing up with everyone watching me" anamaanisha "nivigumu kukuwa ukiwa unatazamwa na watu" aliwaomba pia mashabiki wake waendelee kumwamini.
Post a Comment