MANCHESTER UNITED wako tumbo joto baada ya mshambuliaji wao tegemeo, Robin Van Persie kujiengua kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Holland kwa maumivu ya paja.

Mshambuliaji huyo alitarajiwa kuwemo kwenye kikosi cha Holland Jumatano ijayo katika mechi ya kirafiki dhidi ya Ujerumani.
Van Persie sasa yuko mashakani kuhusu uwezekano wake wa kuichezea Manchester United jumamosi dhidi ya Norwich.


Post a Comment