Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

TASWIRA MBALIMBALI ZA MAHAFALI YA 38 YA IFM YALIVYOKUWA

 Bango lilikuwa likitoa Ujumbe wa tukio maalum ya sherehe ye Mahafali ya 38
 Brass Band ilikuwa tayari kabisa kuongoza msafara kuelekea ukumbi wa mahali utakapofanyikia.
 Wakufunzi walifuatia wakichanja mbuga kuelekea kwenye kiwanja cha ukumbi wa Karimjee ambapo ndipo mahafali yalipofanyikia. (picha na www.ndgshilatu.blogspot.com)
 Meza kuu iliyokuwa ikiongozwa na mgeni rasmi, Naibu waziri wa Fedha, Mhe. Janet Mbene
 
 Wahitimu mbalimbali. Habari na picha na Emmanuel Shilatu wa www.ndgshilatu.blogspot.com
 Wahitimu wengineo walikuwa ni mwendo wa kuwasiliana na simu wakipokea pongezi mbalimbali
Aliyekatikati na Mhitimu na Mwanafunzi bora kabisa kwenye mahafali hayo. Picha kwa hisani ya www.ndgshilatu.blogspot.com

 Geofrey Stephen mmojawapo wa wahitimu wa PGDA
Wahitimu mbalimbali wakishangilia mara baada ya kutunukiwa haki zao.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top