Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

UMOJA WA TANZANIA UJERUMANI (UTU)

Wasanii wa Ngoma,kwaya na Sarakasi wanahitajika

Umoja wa watanzania Ujerumani,unafuraha kutoa wito kwa wasanii
wa Tanzania wanaoishi nchini Ujerumani,wenye vipaji vya kupiga na
kucheza ngoma za kiasili,sanaa za maonyesho kama sarakasi,
na waimbaji wa kwaya ,kujitokeza hili kuunda kikundi cha ngoma za
kiasili,Wasanii tunawaomba muwasiliane na Mwenyekiti wa UTU
namba ya simu +49(0)1734298997.
Wasanii wa Tanzania mnaoishi Ujerumani mnaombwa kutokalia
vipaji vyenu majumbani,tafadhalini tumieni nafasi hii kujitangaza
Kuutangaza utamaduni wa nchi yetu.mfano mnauona kwa wanamuziki
wa dansi wanajitangaza.
Wasanii tumieni nafasi ,jitokezeni kwa wingi kuunda kundi.
Umoja ni Nguvu
Mfundo Peter Mfundo
Mwenyekiti(UTU)
email. kamati.utu@gmail.com simu 01734292997

Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top