Wasanii wa Ngoma,kwaya na Sarakasi
wanahitajika
Umoja
wa watanzania Ujerumani,unafuraha kutoa wito kwa wasanii
wa
Tanzania wanaoishi nchini Ujerumani,wenye vipaji vya kupiga
na
kucheza ngoma
za kiasili,sanaa za maonyesho kama sarakasi,
na
waimbaji wa kwaya ,kujitokeza hili kuunda kikundi cha ngoma
za
kiasili,Wasanii tunawaomba muwasiliane na Mwenyekiti wa
UTU
namba
ya simu +49(0)1734298997.
Wasanii wa Tanzania mnaoishi Ujerumani mnaombwa kutokalia
vipaji vyenu majumbani,tafadhalini tumieni nafasi hii
kujitangaza
Kuutangaza utamaduni wa nchi yetu.mfano mnauona kwa
wanamuziki
wa
dansi wanajitangaza.
Wasanii tumieni nafasi ,jitokezeni kwa wingi kuunda kundi.
Umoja
ni Nguvu
Mfundo
Peter Mfundo
Mwenyekiti(UTU)
email. kamati.utu@gmail.com
simu 01734292997
Umoja
wa watanzania Ujerumani,unafuraha kutoa wito kwa wasanii
wa
Tanzania wanaoishi nchini Ujerumani,wenye vipaji vya kupiga
na
kucheza ngoma
za kiasili,sanaa za maonyesho kama sarakasi,
na
waimbaji wa kwaya ,kujitokeza hili kuunda kikundi cha ngoma
za
kiasili,Wasanii tunawaomba muwasiliane na Mwenyekiti wa
UTU
namba
ya simu +49(0)1734298997.
Wasanii wa Tanzania mnaoishi Ujerumani mnaombwa kutokalia
vipaji vyenu majumbani,tafadhalini tumieni nafasi hii
kujitangaza
Kuutangaza utamaduni wa nchi yetu.mfano mnauona kwa
wanamuziki
wa
dansi wanajitangaza.
Wasanii tumieni nafasi ,jitokezeni kwa wingi kuunda kundi.
Umoja
ni Nguvu
Mfundo
Peter Mfundo
Mwenyekiti(UTU)
email. kamati.utu@gmail.com
simu 01734292997


Post a Comment