Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

BALOZI SEIF ALI IDDI ASHUHUDIA KUKAMILIKA CHOO MAALUM KWA WANAOSAFIRISHA MADAWA YA KULEVYA.

 

Mrakibu Mwandamizi wa Polisi SSP Mkadam Khamis akimpa Taarifa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi ya kukamilika rasmi kwa matengenezo ya choo maalum cha kuchunguzia wasafiri wa anga wanaotiliwa mashaka kwa kujihusisha na usafirishaji wa dawa za kulevya kilichopo uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Zanzibar.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Zanzibar Nd. Said Iddi Ndembwagani mara baada ya kuwasili uwanjani hapo kukaguwa choo maalum kwa ajili ya kuchunguzwa wasafiri wanaotuhumiwa kuingiza dawa za kulevya nchini.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top