Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

GODBLESS LEMA ASOMEWA RUFAA YALE

 
Aliyekuwa mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema akitoka katika Mahakama ya Rufaa Tanzania wakati kesi yake ya kupinga kuvuliwa ubunge wa Arusha mjini ilipoanza kusikilizwa leo. (Na Picha na Habari Mseto Blog)
Aliyekuwa mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema (kulia) akiteta jambo na wakili wake, Tundu Lissu nje ya Mahakama ya Rufaa Tanzania wakati kesi yake ilipoanza kusikilizwa leo



Aliekuwa mbunge wa jimbo la Arusha Mjini Godbless Lema akiongea na wandishi mara baada mahakama ya rufaa yake dhidi wanachama wa ccm Arusha kufungua kesi na mahakamu kuu ya Tanzania kanda ya Arusha kutengua ubunge wake na Lema kupeleka rufaa yakena kusomwa leo jijini Dar es salaam


Godbless Lema akiwa na vingozi wa chadema wakionyesha alama ya chadema nje ya mahakama ya rufaa leo

Godbless Lema akiwa ndani ya mahakama akiangalia IPID ndani ya mahakama



godbless Lema akitoka mahakamani

Godbless Lema akiwa na wakili wake Tundu Lissu leo

Gari lenye mashabiki wa lema weakitoka mahakamani leo
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top