Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

KANUMBA, SHARO MILIONEA WALIMLIZA SHILOLE

 


Zuwena Mohamed ‘Shilole’ akiangua kilio baada ya kuwakumbuka wasanii wenzake Kanumba na Sharo.
Tukio hilo lilitokea kwenye sherehe ya kutimiza miaka 13 ya Clouds FM, iliyofanyikia Club Bilicanas, Posta jijini Dar es Salaa.
Kilio cha Shilole kilisababishwa na Mtangazaji wa Clouds FM, Adam Mchomvu baada ya kutoa fursa ya kuwakumbuka wasanii maarufu waliotangulia mbele ya haki.
...Shilole akiwa na simanzi baada ya kuwakumbuka wasanii hao.
Akiwa jukwaani Mchomvu aliwaomba mashabiki waliojazana ukumbini humo kunyanyua mikono juu na waliokuwa na simu aliwataka wazinyanyue juu huku wakiwa wameziwasha ili zitoe mwanga.
Mtangazaji huyo alianza kuyataja majina ya mastaa waliofariki mmoja baada ya mwingine, huku watu kibao wakionesha simanzi zao.
...Kilio kikiendelea
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top