Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MATUKIO YA IBADA MBALIMBALI ZA KRISMASI KATIKA PICHA

 

Askofu Msaidi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Eusebius Nzigilwa (katikati) akiongoza ibada ya mkesha wa Sikuu ya Krismasi katika Kanisa la Mtakatifu Petro Oysterbay jijini Dar es Salaam juzi. Kushoto ni Paroko wa kanisa hilo, Padri, Joseph Mosha. (Picha na Habari Mseto Blog)
Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk. Alex Malasusa akitoa mahubiri wakati wa ibada ya Krismasi leo.
Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk. Alex Malasusa akitoa baraka kwa waumini wa Usharika wa Azania Front baada ya ibada ya Krismasi
Sehemu ya waumini wa Kanisa Katoliki Parokia mpya ya Mt. Bonaventure, Kinyerezi wakifuatilia sehemu ya ibada ya Krisamsi iliyokuwa ikiendeshwa na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Muadhama Polycarp Kadinali Pengo, Dar es Salaam leo.
Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es salaam Muadhama Polycarp Kadinali Pengo akipokea michango mbalimbali ya fedha kutoka kwa viongozi wa jumuiya za kikristo katika jimbo la segerea, dar es salaam alipokwenda kuongoza ibada ya Krismasi sambamba na uzinduzi wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mt. Bonaventure, Kinyerezi, Dar es Salaam leo.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top