Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

NAIBU WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA, MHE. ANGELLAH KAIRUKI ATEMBELEA BANDA LA TUME YA MABADILIKO YA KATIBA


 

NaibuWaziriwa Katiba na Sheria, Mhe. Angellah Kairuki akizungumza jambo wakati alipotembelea banda la Tume ya Mabadiliko ya Katiba katikauzinduzi wa maadhimisho ya siku ya haki za binadamu duniani leo jumatano Disemba 5, 2012 zinazoendelea katika viwanja vya Mnazi mmoja Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mjumbewa Sekretarieti yaTume hiyo, Bw. Andrew Eriyo.
Mjumbe wa Sekretarieti ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Bw. Andrew Eriyo akitoa ufafanuzi wa kazi na majukumu mbalimbali yaTume hiyo kwa Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Angellah Kairuki (kushoto) wakati alipotembelea banda la Tume hiyo leo (Jumatano Disemba 5, 2012) katika maadhimisho ya siku ya Hakiza Binadamu zinazoendelea katika viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam.
Mjumbe wa Sekretarieti ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Amour Kagya (kulia) akigawa nakala ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano na machapisho mbalimbali yanayotolewa na Tume hiyo kwa wananchi waliotembelea banda la Tume hiyo leo (JumatanoDisemba 5, 2012) wakati wa uzinduzi wa maadhimisho ya siku ya Haki za Binadamu Duniani zinazofanyika kitaifa katikaViwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam. (PICHA NA TUME YA KATIBA)
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top