Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

NMB Yasaidia Mashindano Ya 'Kinondoni Mayor Cup'

Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya NMB, Imani Kajula (pili kulia) akimkabidhi Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusufu Mwenda(pili kushoto) msaada wa vifaa vya michezo vyenye thamani ya Sh milioni 10/- kwa ajili ya timu zinazoshiriki mashindano ya kuwania Kombe la Meya wa Kinondoni ‘Kinondoni Mayor Cup 2012″ katika hafla iliyofanyika Makao Makuu ya Manispaa ya Kinondoni, Dar es Salaam. Wakishuhudia ni Naibu Meya kinondoni Songoro Mnyonge(Kushoto) na mjumbe wa kamati ya maandalizi ya mashindano hayo Sharif Maji.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top