Kaimu mkuu wa mkoa wa Singida, Manju Msambya (wa pili kushoto) akimkabidhi mwenyekiti wa kambi ya kijiji cha Sukamahela wilayani Manyoni Bw. Nicolus Mkola Mkonongo, msaada uliotolewa na rais Jakaya Kikwete kwa watu wenye ukoma kwa ajili ya X-Mass.Wa kwanza kushoto ni mkuu wa wilaya ya Manyoni Bi.Fatuma Toqufiki na wa pili kulia ni mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Manyoni Fortunata Malya.
Mwenyekiti wa kambi ya kijiji cha Sukamahela wilayani Manyoni,Nicolus Mkola Mkonongo, ( wa kwanza kushoto akitoa shukrani zake kwa mssada waliopewa na rasi Jakaya Kikwete.
Baadhi ya msaada uliotolewa na rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete kwa wakazi wa kambi ya kijiji cha Sukamahela wilayani Manyoni,kwa ajili ya kufanikisha sherehe ya X-Mass ya mwaka huu.Msaada huo uliokabidhiwa na kaimu mkuu wa mkoa wa Singida,Manju Msambya ni pamoja na kilo 75 za mchele,lita kumi ya mafuta ya kupikia vifurushi vidogo vya nyanya na vitunguu na beberu moja la mbuzi