Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

TUJIKUMBUSHE MAADHIMISHO YA SHEREHE ZA MIAKA 50 YA UHURU WA TANZANIA BARA 2011


Rais Kikwete akipungia wananchi mkono wakati akiwasilini uwanjani.
Rais Jakaya Kikwete akiwasili uwanjani hapo.

 

Mabalozi mbalimbali wakishuka katika basi maalum la Wizara ya Mambo ya Nje mara baada ya kuwasili katika sherehe za Miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania bara, zinazofanyika kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam zikihudhuriwa na wageni mbalimbali, mabalozi wakuu wa nchi kadhaa za Afrika, Asia na Ulaya na viongozi wa Serikali wakiongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dk. Jakaya Kikwete.

Waheshimiwa wabunge na makatibu wakuu wa Wizara mbalimbali wakiteremka kwenye mabasi yaliyowabeba kwa ajili ya kushiriki katika sherehe za miaka 50 ya uhuru wa Tanzania bara.

Kundi la bendi ya Msondo ngoma likiwatumbuiza wageni waalikwa mbalimbali katika sherehe hizo.

Vijana wa halaiki wakiwa katika staili maalum ya ukaaji katika sherehe hizo.
Kwa hisani ya Fullshangwe .

Hili ni moja kati ya majukwaa yaliyofurika wananchi.

Hili ni gari la kijeshi la kubebea silaha, likipita kwaajiri ya maonyesho.

Rais wa Jamuhuri wa muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete akikagua gwalide.

Kikosi cha mizinga vilionyesha baadhi ya vifaa vya kuripulia mizinga.

Hiki ni kifaru cha kivita kikipita mbele ya Rais Kikwete.

Hili ni gari ambalo limebeba mizinga ya kivita.

 
Huu ni baadhi ya umati uliokuwa ukiingia uwanjani.

Rais Kikwete akielekea kukagua gwalide.

Kikosi cha wanajeshi wakimuonyesha Rais utaalamu wao katika kucheza karatee.

Hiki ni kifaru cha kivita kikipita mbele ya Rais Kikwete.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright 2025 EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG | Designed By Code Nirvana