Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

ZAMBIA YATUA DAR ES SALAAM KUIKABILI TAIFA STARS

 

Mwanasoka Bora wa Mwaka wa Afrika, Christopher Katongo, ambaye pia ni nahodha wa timu ya taifa ya Zambia (kushoto), akiwa na baadhi ya wachezaji wa timu hiyo, walipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere wa Dar es Salaam, tayari kwa mchezo wa kirafiki dhidi ya Taifa Stars, utakaofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, Desema 22. (Picha na Habari Mseto Blog)

Wachezaji wa timu ya taifa ya Zambi wakiwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam leo.
Mwanasoka Bora wa Mwaka wa Afrika, Christopher Katongo, akizungumza na waandishi wa habari za michezo.
 
 
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top