Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

DK. SHEIN AZINDUA BOHARI KUU YA MADAWA ZANZIBAR


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akifungua pazia kama ishara ya uzinduzi wa Jengo la Bohari Kuu ya Dawa, Maruhubi nnje kidogo ya mji wa Zanzibar jana ikiwa ni shamra shamra za kilele cha miaka 49 ya Mapinduzi Matukufu ya zanzibar, (kulia) Balozi wa Marekani Nchini Tanzania Alfonso Lenhardt.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, (wa tatu Kulia) pamoja na Viongozi wengine akiwemo Balozi wa Marekani Nchini Alfonso Lenhardt.wakiangalia namna ya uchukuwaji dawa kwa kutumia mashine maalum na kutoa nje ya Bohari kuu ya Dawa, baada ya ufunguzi rasmi jana huko Maruhubi Nje ya mji wa Zanzibar, ikiwa ni shamra shamra za kilele cha miaka 49 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar. [Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akisikiliza maelezo kutoka kwa Meneja wa Bohari Kuu ya Dawa Zanzibar, Said Mohamed, (kulia) alipotembela jana na kuzinduwa Jengo la Bohari Kuu ya Dawa huko Maruhubi Nje ya Mji wa Zanzibar, ikiwa ni shamra shamra za kilele cha miaka 49 ya Mapinduzi ya zanzibar, (wa tatu kushoto) Balozi wa Marekani Nchini Tanzania Alfonso Lenhardt.
 
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top