Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

DKT MWINYIHAJI MAKAME AFUNGUA MRADI WA MAJI FUMBA

 

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Mwinyihaji Makame Mwadini ameishukuru Serikali ya Japan kupitia Shirika lake la Maendeleo JICA kwa kusaidia Maji safi na salama katika Visiwa vya Unguja na Pemba..
Amesema Serikali imefarajika kuona Vijiji mbali mbali vya Unguja na Pemba vinafaidika na Miradi hiyo chini ya ufadhili wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kwa kushirikiana na Japan.
Akizinduwa Mradi wa Maji Safi na Salama huko Fumba Dkt Mwinyihaji amewataka Wananchi hao kuendelea kushirikiana katika utekelezaj iwa Miradi ya Maendeleo ili kutekeleza kwa vitendo malengo ya Mapinduzi ya Zanzibar. ya mwaka 1964.
Amesema ushirikiano waliouonesha katika utekelezaji wa Mradi huo ni wakupigiwa mfano,hivyo hakuna sababu yakubaguwana katika Miradi ianayo waletea tija ikiwemo ya Afya,Elimu na ya kiuchumi.
Mradi wa Maji Safi na Salama wa Fumba umeanza utekelezaji wake mwaka 2009 na umegharimu kiasi cha shillini millioni Mia Moja na 29 zilizotolewa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Serikali ya Japan
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top