Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

KINANA ATINGA KIBONDO NA KUPOKELEWA NA MAELFU YA WATU

Wananchi wa Kijiji cha Kilemba wilayani Kibondo mkoani Kigoma, wakiserebuka kwa ngoma mbele ya Katibu Mkuu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (wapili kushoto) na ujumbe wake, alipoowasili kwenye kijiji hicho nje kidogo ya mji mdogo wa Kibondo leo asubuhi. Kushoto ni Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Tanzania, Bulembo na watatu ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kigoma Dk. Amani Kaborou.
Msafara wa Kinana ukiingia mjini Kibondo kwa shamrashamra za aina yake. (PICHA NA BASHIR NKOROMO)
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top