Wananchi wa Kijiji cha
Kilemba wilayani Kibondo mkoani Kigoma, wakiserebuka kwa ngoma mbele ya Katibu
Mkuu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (wapili kushoto) na ujumbe wake,
alipoowasili kwenye kijiji hicho nje kidogo ya mji mdogo wa Kibondo leo asubuhi.
Kushoto ni Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Tanzania, Bulembo na watatu ni
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kigoma Dk. Amani Kaborou.
Msafara wa Kinana ukiingia mjini Kibondo kwa shamrashamra za aina yake. (PICHA NA BASHIR NKOROMO)
Msafara wa Kinana ukiingia mjini Kibondo kwa shamrashamra za aina yake. (PICHA NA BASHIR NKOROMO)
Post a Comment