Mkaguzi Mkuu wa ndani wa
Serikali Msaidizi, Serikali za mitaa Bw. Constantine Mashoko akifungua rasmi
mkutano wa mafunzo ya viwango vya kimataifa vya ukaguzi wa
ndani.
Wakaguzi wa ndani kutoka
kanda ya kati wakisikiliza kwa makini hotuba ya
ufunguzi
Mshauri mwelekezi kutoka
Chuo Kikuu cha Mzumbe Bw. Aloyce Maziku akitoa mafunzo ya viwango vya kimataifa
vya ukaguzi wa ndani kwa wakaguzi wa ndani.
Kutoka kushoto ni Afisa wa
Fedha Mwandamizi Bi. Vicky Jengo, Katibu Muhtasi Bi. Janet Mwamanga ambao pia ni
washiriki katika mkutano huo.
Kutoka kushoto ni Mkaguzi
wa Ndani Mkuu Msaidizi wa serikali upande wa Bajeti na mishahara Bw. Stanslaus
Mpembe, Mkaguzi Mkuu wa ndani wa Serikali Msaidizi Bw. Constantine Mashoko na
Mkuu wa Hazina Ndogo Dodoma Bw. Evance Asenga wakibadilishana
mawazo.
Baadhi ya wakaguzi wa ndani
wa serikali kutoka halmashauri za kanda ya kati wakiwa katika picha ya pamoja.
(Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini – Wizara ya
Fedha).
Post a Comment