Katibu Mkuu wa Umoja wa
Vijana wa CCM UVCCM Bw. Martin Shigela akijenga msingi wa ngazi katika soko la
Bitale wakati alipotembelea na kukagua ujenzi wa sok0 hilo lililopo katika
Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma Vijijini,
Wajumbe wa Sekretarieti ya
CCM wakiongozwa na Katibu Mkuu wa Chama hicho Ndugu Abdurahman Kinana wapo wako
katika mkoa wa Kigoma ili kuamgalia utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi
na sherehe za miaka 36 ya chama cha Mapinduzi, zitakazofanyika Februari 3 katika
uwanja wa Lake Tanganyika mkoani humo
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM UVCCM Bw. Martin
Shigela akipokelewa kwa maandamano mara baada ya kuwasili katika kata ya Bitale
mkoani Kigoma
Kikundi cha ngoma cha kijiji cha Bitaeli kikitumbuzia
na kutoa burudani, huku Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM UVCCM Bw. Martin
Shigela
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM UVCCM Bw. Martin
Shigela akiongea na baadhi ya wana Bitale kabla ya kabla ya kuanza kutembelea
miradi na kuona shughuli za maendeleo.
Soko jipya linalojengwa katika Kijiji cha Bitale nje
kidogo ya mji wa Kigoma likiwa katika hatua za mwisho
kukamilika.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM UVCCM Bw. Martin
Shigela akizungumza na wanafunzi wa kidato cha nne wakati alipotembelea maabara
ya kisasa iliyojengwa katika shule ya Sekondari ya Bitale
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM UVCCM Bw. Martin
Shigela akikagua ofisi ya Tawi la Simbo Wilaya ya Kigoma Vijijini
.
Post a Comment