Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MWANADADA ALIYEACT KATIKA WIMBO WA THRILLER ASHINDA KESI DHIDI YA MICHAEL JACKSON

michael Jackson

Siku ya leo imekua kama historia kwa mwanadada Ola Ray aliyeigiza katika wimbo uliojipatia umaarufu zaidi kutoka kwa multi tilionea Michael Jackson, Kwani mwanadada huyo amelipwa kiasi cha $ 75000 za kimarekani kama malipo ya mda mrefu ya kazi aliyoifanya kwa kuigiza katika nyimbo ya Thlller.
Awali mwanadada huyo alifungua kesi ya madai hayo mwaka 2009, ikiwa mwezi mmoja tu kabla ya Hayati Michael jackson hajafariki, na kesi imetolewa hukumu leo na kuamuru familia ya Michael Jackson kulipa $75000 na mwanadada huyo apate $50,000 na $25,000 ziende kwa mwanasheria wa jiji hilo.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top