Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

VISIWA VINAVYOENDELEA KULIWA NA KUPOTEA BAHARI YA HINDI



Baada ya miaka kadhaa inawezekana baadhi ya visiwa kama hivi kutoonekana kabisa kutokana na kuendelea kuliwa kila kukicha na kupotea kabisa, na hii kwa namna moja ama nyingine husababishwa na uharibifu wa mazingira na uharibifu wa vyanzo vya mito, misitu nk. Visiwa hivi ni miongoni mwa Visiwa vilivyopo Bahari ya Hindi katikati ya Dar es Salaam na Zanzibar, ambavyo vingi vionaonekana kuwa tayari vimekwisha potea kwa kufunikwa kabisa na maji huku vingine vionekana kuendelea kuliwa siku hadi siku.
Hiki ni moja kati ya visiwa vidogo vilivyokwisha liwa kabisa na kufunikwa na maji, ambapo siku za usoni hata alama hii ya kuwepoe kwa kisiwa mahala hapa itatoweka.
Na hiki pia ni moja kati ya visiwa vinavyoendelea kulika siku hadi siku....
Huu ni mmoja kati ya miamba iliyokwisha funikwa na maji baharini.......
Hiki nacho kama kinavyoonekana kikiwa nama kimepachikwa tu yaani kikiwa kimebaki kimening'inia.....
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top