Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

WAONE MASUPASTAA NA VIONGOZI WETU WALIVYOTOKELEZEA KWENYE MSIBA WA SAJUKI JANA

 
 




Hili ndilo kaburi ambalo Sajuki amezikwa leo katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam Januari 4, 2013.



Rais Kikwete naye alikuwepo katika kumzika Sajuki  Januari 4, 2013.

Hallooo... hapa ndo tunakaribia kumzika mshkaji wetu Sajuki...!



Hapa ni maandaalizi ya mapeeema kabla jeneza la sugu halijaletwa na mwili wa msanii huyo kuzikwa Januari 4, 2013.







Na mie nipishe nichukue ukumbusho wa kaburi la Sajuki...!








Tafakuri makini kabla ya mazishi ya Sajuki  Januari 4, 2013.



Steve Nyerere mwenye kanzu mbele, Tino (nyuma ya Steve) na waombolezaji wengine wakitafakari kabla mwili kufikishwa kwenye makaburi ya Kisutu na kuzikwa jijini Dar es Salaam Januari 4, 2013.









Tangulia mwana... sote tuko nyuma yako Sajuki! Jotti akitafakari kabla ya mazishi ya Sajuki  Januari 4, 2013.

Single Mtambalike 'Richie' (kushoto) naye aliibuka 'kisheikh' kumsindikiza Sajuki  Januari 4, 2013.

Chuzi naye alikuwepo na mtoko wake wa Kisheikh







Kwaheri mwanangu Sajuki... msanii nyota wa filamu, Mzee Chillo naye alikuwapo kumzika Sajuki Januari 4, 2013.



Hivi ni kweli umeondoka Sajuki? Siamini!



Mtangazaji Benny Kinyaiya hakubaki nyuma kumsindikiza Sajuki  Januari 4, 2013.



Msanii Jimmy Mponda a.k.a Jimmy Master alikuwa akimuaga Sajuki kwa staili yake.

Mhe. Zitto Kabwe (wa pili kushoto) akitafakari jambo na wasanii na waombolezaji wengine katika makaburi ya Kisutu kabla ya kuzikwa kwa Sajuki Januari 4, 2013.



Kwaheri kijana wangu....! Msanii nyota wa filamu, Mzee Magali (kulia) akionekana mwenye majonzi tele kabla ya kuzikwa kwa mwenzao Sajuki Januari 4, 2013. (Picha zote: Shafii Banzi)


Said Fella (kushoto) na Chege ndani ya uzi wajangwani pia walikuwapon
Ni huzuni kubwa kwa kifo cha mpendwa wetu Sajuki... Mungu amlaze pema! Mbunge wa Kinondoni, Mhe. Iddi Azzan.












Hapa kabla ya kuwasili kwa mwili kwenye makaburi ya Kisutu Januari 4, 2013.

















Msanii Z Anto akiswali juu ya kaburi la Marehemu Sajuki.

King Kikii Mwana Fa na Profesa J.

Mchekeshaji Masanja Mkandamizaji na Mwimbaji Linex ni miogoni mwa wasanii waliohudhuria, wengine ni pamoja na Mwana Fa, Profesa J, Mzee Kitime na King Kikii.


Rais Jakaya Kikwete ni miongoni mwa viongozi tele wa serikali na vyama vya siasa waliojitokeza katika mazishi ya msanii nyota wa filamu nchini, Juma Kilowoko 'Sajuki' aliyefariki juzi kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili na kuzikwa leo katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam.


Baadhi ya viongozi wengine wa kisiasa walioungana na wasanii na Watanzania wengine kibao katika kumsindikiza Sajuki kwenye nyumba yake ya milele leo baada ya swala ya Ijumaa ni Mbunge wa Kigoma Kaskazini na Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Mhe. Zitto Kabwe na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, Mbunge wa Kinondoni, Mhe. Iddi Azzan.

Wasanii wa filamu, muziki na watangazaji wa redio na luninga waliokuwapo ni pamoja na Mzee Magali, Ray, Mzee Chillo, Jotti, Richie, Cheni, Mpoki, Mac Reggan, Chegge, Ben Kinyaiya, Dulla wa East Afrika

Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top