Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

JK AONGOZA SIKU YA SHERIA NCHINI

 


Rais Kikwete katika picha ya pamoja na wanasheria nje ya jengo lamahakama kuu jijini dar es salam ikiwa ni maadhimisho ya siku ya sheria hapa nchini.

Rais jakaya Kikwete akihutubia katika amdhimisho hayo leo

Rais Kikwete katika mazungumzo na Jaji Mkuu Mohamed Chande, Jaji Kiongozi Mhei Jundu, Jaji January Msofe, Spika Anne Makinda, Waziri wa Katiba na Sheria Mhe Mathias Chikawe na Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam

Rais Kikwete katika picha ya pamoja na Mahakimu katika maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini nje ya Mahakama Kuu


Rais Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na majaji wa Mahakama ya Rufaa katika maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini nje ya Mahakama Kuu

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na majaji wa Mahakama Kuu Qkatika maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini nje ya Mahakama Kuu

Rais Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa dini
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top