Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Bima ya Afya (NHIF),Emmanuel
Humba akizungumza katika hafla iliyoandaliwa kwa ajili ya kujipongezana
na kupata chakula cha jioni kwenye ukumbi wa Makonde mjini Mtwara,baada
ya kumalizika kwa Kongamano la Nane la Wanahabari na Wadau wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF),lililomalizika jana kwenye Ukumbi wa Benjamin Mkapa uliopo ndani ya Chuo cha Ualimu Mkoani humo.
Maofisa wa Mfuko wa Bima ya Afya (NHIF) kutoka kulia ni Grace Michael na Dr. Ahena Mramba Rose Gabriel wakiwa katika hafla hiyo.


Baadhi ya Wahariri wa vyombo
mbalimbali vya habari wakiwa katika hafla hiyo kutoka kushoto ni Mgaya
Kingoba wa Habari Leo na wenzake
Steven Mhina kulia akiwa na Angel Akilimali kushoto wote kutoka Radio Uhuru




Mkuu wa Wilaya ya Kalambo Mh. Moshi Chang'a akipokea cheti chake kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Bima ya Afya (NHIF),Emmanuel Humba na kushoto ni Salome Manyama meneja wa tawi la NHIF makao makuu
Hapa ikiwa ni burudani kwa kwenda mbele

Post a Comment