Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

PICHA ZAIDI ZA HALI ILIVYOKUWA JANA BUNGENI WAKATI WABUNGE WAKITOKA BUNGENI


Wabunge wa upinzani wakijiandaa kutoka nje ya ukumbi wa Bunge mjini Dodoma leo baada ya kukataa hoja ya kukataliwa hoja ya Mbunge wa Kuteuliwa (NCCR- MAGEUZI) James Mbatia ambapo ametakiwa aondoe ambapo amekataa.


Baadhi ya Wabunge wa Upinzani wakiwa nje ya viwanja vya Bunge baada kutoka kupinga kwa kukataliwa kwa hoja ya Mbunge wa Kuteuliwa (NCCR-MAGEUZI) James Mbatia kuambia aondoe hoja yake na kukataa jana Bungeni.


Baadhi ya Wabunge wa Vyama vya Upinzani wakitoka ndani ya ukumbi wa Bunge mjini Dodoma baada ya Mbunge wa kuteuliwa wa NCCR- MAGEUZI, James Mbatia baada ya kuambiwa aondoe hoja yake mezani ambako alikataa,(Picha na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO).
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top