Loading...
BLOG RAFIKI
-
-
-
-
-
-
-
Alfajiri1 month ago
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
Rais Dkt.Jakaya Mrisho
Kikwete akiwa pamoja na waliokuwa viongozi waandamizi wa CHADEMA.Kushoto
anayevaa kofia ya CCM ni aliyekuwa mgombea Ubunge jimbo la Mbozi Magharibi kwa
tiketi ya CHADEMA Bwana Mtela Mwampamba na kulia ni Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti
Baraza la Vijana CHADEMA Bi Juliana Shonza.Weninge katika picha ni Katibu mkuu
wa CCMNdugu Abdulrahman Kinana(kulia) na kushoto ni Makamu Mweyekiti wa CCM Bara
Ndugu Philip Mangula(picha na Freddy Maro)

Post a Comment