Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Tigo kufanya tamasha kubwa la Muziki kuzindua msimu wa Tabasamu

 


 Baadhi ya Wasanii watakaotumbuiza kwenye tamasha hilo wakiwa kwenye picha ya pamoja,mapema leo asubuhi mara baada ya kumaliza mkutano wao na Wanahabari ndani ya ukumbi wa hoteli ya Bell Monte,jijini Dar.
Mmoja wa wasanii mahiri,Mr Blue,ambaye pia  atashiriki kutumbuiza kwenye tamasha hilo akitoa vionjo kwa Wanahabari (hawapo pichani). 

 Mratibu wa tamasha hilo kutoka kampuni ya Prime Time Promotions Ltd,Lumuliko Mengele a.k.a Dj Mully B akifafanua kuhsiana na maandalizi ya tamasha hilo litakalofanyika kwenye ufukwe wa Coco beach,februari 10 jijini Dar Es salaama,Shoto kwake ni baadhi ya wasanii watakaoshiriki tamasha hilo.
Pichani shoto ni Meneja wa chapa ya Tigo Bwana William Mpinga akifafanua jambo mbele ya wanahabari (hawapo pichani) kuhusiana na uzinduzi huo akisema "Tigo ina fahari kubwa kwa jinsi ambavyo inawajali na kuwapa thamani wateja wake kupitia bidhaa zake mbalimbali za mawasiliano.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top