Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

KOCHA CAMEROON ASEMA MECHI YA KESHO ITAKUWA TAMU

 

Kocha Mkuu wa Cameroon, Jean Paul Akono (katikati) akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu mchezo wa kesho wa kimataifa dhidi ya Tanzania, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kwenye ukumbi wa mikutano wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), mchana wa leo. Kulia ni Nahodha wa Cameroon, Pierre Wome na kushoto ni Meneja Rogobert Song. Kocha huyo amesema mechi ya kesho itakuwa nzuri na ngumu kwa sababu Tanzania ni timu nzuri. Amesema kwa sasa Afrika hakuna timu ndogo, hivyo haidharau mechi hiyo.

Kocha Mkuu wa Cameroon, Jean Paul Akono (katikati) akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu mchezo wa kesho wa kimataifa dhidi ya Tanzania, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kwenye ukumbi wa mikutano wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), mchana wa leo. Kulia ni Nahodha wa Cameroon, Pierre Wome na kushoto ni Meneja Rogobert Song.

Meneja wa Cameroon, Rigobert Songa akifurajhia jambo na Kocha Mkuu wa timu hiyo, Jean Paul Akono kulia

Hapa wanasikiliza maswali ya Waandishi wa Habari
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top